Thursday, November 10, 2016

Wadau na wanasoka mbalimbali walivyoupokea ushindi wa Trump

1

Donald Trump amechaguliwa kuwa rais wa 45 wa Marekani akimbwaga Hillary Clinton kuingia Ikulu ya White House.

Ushndi huo umepokelewa kwa hisia tofauti tofauti na wadau wa soka duniani, angalia Tweets za wadau mbalimbali wa soka baada ya ushindi wa Trump.





Azam wamuenzi vyema Mzee Said Mohamed, yatoa kipigo kitakatifu kwa Mwadui


AZAM FC leo wamemuenzi vyema Mzee Said Mohamed kwa kuishushia kipigo cha mbwa mwizi Mwadui FC cha mabao 4-1, mchezo uliofanyika katika Uwanja wa Mwadui mkoani Shinyanga.
Katika mchezo huo ambao timu zote mbili zilianza kwa hofu kubwa kutokana na kutokuwa na matokeo mazuri katika michezo yao iliyopita, Mwadui walipata goli dakika ya 20 kupitia kwa Jerryson Tegete lakini mwamuzi alikataa kwa madai kwamba aliunawa kabla ya kufunga.
Haikuishia hapo, Hassan Kabunda akaweka goli safi kwa bicycle kick dakika ya 30 na kuwapa Azam FC wakati mgumu.
Dakika ya 36 Azam FC walifanya mabadiliko baada ya Mudathir Yahya kutoka kufuatia kuumia na nafasi yake kuchukuliwa na Ramadhan Singano.
Kipindi cha kwanza kilimalizika kwa Mwadui kutoka kifua mbele katika uwanja wao wa nyumbani.
Azam walifanya tena mabadiliko kwa kumtoa Gadiel Michael na nafasi yake kuchukuliwa na Shaaban Idd mnamo dakika ya 53 na baadaye mabadiliko mengine kufanywa kwa kutoka Frank Domayo na kuingia Francisco Zekumbawira.
Mabadiliko hayo yalionekana kuwa na mtazamo chanya baada ya Azam FC kufanikiwa kusawazisha bao kupitia kwa John Bocco dakika ya 54 kwa shuti kali lililomshinda kipa wa Mwadui.
Shaaban Idd aliyeingia kutoka benchi aliipatia Azam bao la pili dakika ya 71, huku Mzimbabwe Zekumbawira ambaye pia aliingia kutokea benchi akifunga bao la tatu dakika ya 74.
Shaaban Idd kwa mara nyingine tena aliipa Azam bao la nne dakika ya 77 na kuvunja matumaini yote ya Mwadui ya kushinda mchezo huo uliofanyika katika dimba lao la nyumbani.
Matokeo yanaifanya Azam FC kumaliza mzunguko wa kwanza wa ligi ikiwa kwenye nafasi ya tatu katika msimamo wa ligi ikijikusanyia pointi 25 ikizidiwa 10 tu na vinara Simba waliojikusanyia 35, ambao jioni ya leo wamepoteza mchezo kwa kufungwa na Tanzania Prisons mabao 2-1, huku Mwadui wakiwa kwenye nafasi ya 14 na alama zao 13.

Lebron James asimamishwa.


Haikutegemewa lakini imetokea. Cleveland Cavs wamefungwa na Atlanta Hawks huku wakiwa na rekodi bora zaidi katika NBA msimu huu.
Dennis Schroder alifunga pointi nyingi zaidi katika maisha yake ya mchezo wa kikapu, 28 points na Atlanta Hawks ikaifunga Cleveland Cavs ambao ni mabingwa watetezi, 110-106.
“Ilikuwa mechi mbovu na ya ajabu,” alisema LeBron James, ambaye alifunga pointi 23 points baada ya kuwa na pointi 2 tu katika nusu ya kwanza.
Atlanta iliongoza kwa pointi zaidi ya 18 katika robo ya tatu kabla ya  Cleveland hawajapunguza mpaka pointi 2 tu. Hawks wakarejesha uongozi kwa pointi 15 mwanzo wa robo ya nne lakini Cavaliers wakapunguza tena mpaka pointi 2 zikiwa zimesalia sekunde 25.
Kent Bazemore, alifunga pointi 25.
Atlanta ilikuwa imepoteza michezo 11 mfululizo dhidi ya Cleveland, ikiwemo kuondolewa kwa michezo minne katika hatua ya mtoano kwa misimu miwili iliyopita.
Paul Millsap alifunga pointi 21 kwa Atlanta. Dwight Howard, aliwasaidia sana Atlanta kwa kudaka rebound 17.
Kyrie Irving aliiongoza Cleveland akiwa na pointi 29 huku mchezaji Kevin Love akiendelea na msimu mzuri akiwa na pointi 24.

Tuesday, November 8, 2016

Ronaldo na Messi waongoza kwa kulipwa pesa nyingi





Wachezaji Cristiano Ronaldo na Lionel Messi ndio wachezaji wa mchezo wa soka wanaongoza kwa kulipwa pesa nyingi zaidi duniani kwa sasa.
Ronaldo analipwa kiasi cha Pauni 365,000 kwa wiki huku akijikusanyia kiasi cha pauni milioni 19,kwa mwaka Nae Lionel Messi analipwa kiasi cha Pauni 365,000 kwa wiki huku nae akipata pauni million 19 kama Ronaldo kwa mwaka.


Wachezaji wengine wanaolipwa pesa nyingi duniani

Gareth Bale (Real Madrid) Pauni 346,000 kwa wiki, Pauni Milioni 18 kwa mwaka
Givanildo Vieira de Sousa maarufu kama Hulk (Shanghai SIPG) Pauni 317,000 kwa wiki Pauni Milioni 16.5 kwa mwaka
Paul Pogba (Manchester United) Pauni 290,000 kwa wiki Pauni Milioni 15 kwa mwaka
Neymar (Barcelona) Pauni 289,000 kwa wiki Pauni Milioni 15 kwa mwaka
Graziano Pelle (Shandong Luneng) Pauni 260,000 kwa wiki Pauni Milioni 13.5 kwa mwaka
Wayne Rooney (Manchester United) Pauni 260,000 kwa wiki, Pauni Milioni 13.5 kwa mwaka
Zlatan Ibrahimovic (Manchester United) Pauni 250,000 kwa wiki, Pauni Milioni 13 kwa mwaka
Sergio Aguero (Manchester City) Pauni 240,000 kwa wiki, Pauni Milioni 12.5 kwa mwaka
Yaya Toure (Manchester City) Pauni 240,000 kwa wiki, Pauni Milioni 12.5 kwa mwaka

Monday, October 17, 2016

Transfer Rumours


Image result for rumours

Charlie Upex
Tottenham are leading the race to sigh Peterborough wonderkid Leo Da Silva Lopes.

Chelsea's interest in Porto teenager Ruben Neves and AC Milan's link to Erik Lamela

James Jimbo Halstead                                                                                                           
Chelsea to resign Ramires for £20m and complete a straight swap deal for mata to return to Chelsea seeing fabregas go the other way to Man Utd

Hector Bellerin wants to, and will, join Manchester City in the 2017 summer transfer window 

a rumour is that Neil Warnock is to take over at Cardiff City,just goes to prove that football has gone mad.

Stephen Stubbs
Diego Simmeone to cut two years of his current contract at Atletico Madrid to take the reigns of current Arsenal manager Arsene Wenger in two seasons time.

Women's Champions League

Manchester City to face Brondby in last 16

Manchester City Women

Manchester City have been drawn to face Danish side Brondby in the last 16 of the Women's Champions League.

City, the last British side remaining in this season's competition, eased past Russian side Zvezda 2005 6-0 on aggregate in the previous round.

Three-time semi-finalists Brondby, who were seeded for Monday's draw, beat Austrian club St Polten in the last 32.

The first leg in Manchester will be held on 9 or 10 November, before the second leg on 16-17 November.

Manchester City have already clinched their first English league title this season and completed a domestic double with victory in the Continental Cup (League Cup).

Fellow English side Chelsea went out to German club Wolfsburg in the last 32, while Scottish sides Glasgow City and Hibernian were also knocked out at the same stage, after Welsh champions Cardiff Met went out in the qualifying rounds.

The 2016-17 final will be held in Cardiff on Thursday, 1 June.

The full draw for the last 16 is as follows:


Paris Saint-Germain (FRA) v BIIK-Kazygurt (KAZ)

Barcelona (ESP) v FC Twente (NED)

Slavia Praha (CZE) v Rosengard (SWE)

Manchester City (ENG) v Brondby (DEN)

Brescia (ITA) v Fortuna Hjorring (DEN)

Lyon (FRA) v FC Zurich (SUI)

Eskilstuna United (SWE) v Wolfsburg (GER)

Bayern München (GER) v Rossiyanka (RUS)

FA boss Greg Clarke says 'no issues' before England appointment: Sam Allardyce

Allardyce



Due diligence was carried out on Sam Allardyce before his appointment as England manager, says Football Association chairman Greg Clarke.

Allardyce, 61, left his role in September after 67 days in charge following a newspaper investigation claiming he offered advice on how to "get around" rules on player transfers.

Asked by MPs whether the FA looked into previous allegations against Allardyce made by a 2006 BBC Panorama programme, Clarke said no significant issues were found.

In response to Panorama, then Bolton manager Allardyce denied claims he had received illegal payments from agents.

An inquiry by Lord Stevens later suggested that he may have had a conflict of interest with his agent son Craig Allardyce, but it found no evidence of irregular payments.

Allardyce's stint as England manager lasted only one match following his appointment in July.

The former West Ham, Newcastle, Notts County and Blackburn boss was filmed in July 2016 telling undercover reporters it was "not a problem" to bypass rules on third-party player ownership and claimed he knew of agents who were "doing it all the time".

The Telegraph investigation also claimed that a £400,000 deal was struck for Allardyce to represent the Far East firm the reporters claimed to work for, and to be a speaker at events, although Allardyce said he would have to "run that by" the FA first.

Allardyce said he "made a significant error of judgement", but that "entrapment had won" following his departure from the England job.

He added: "Although it was made clear during the recorded conversations that any proposed arrangements would need the FA's full approval, I recognise I made some comments which have caused embarrassment."

Clarke said the FA is still waiting for the Telegraph and police to release the full information from their investigation.

Answering questions from MPs at a Commons select committee into football governance, Clarke said Allardyce was given a pay-off when he left England, but refused to disclose the sum.

On Friday, FA vice-chairman David Gill told BBC Sport that Allardyce's exit was a "complete disappointment" and that "no-one saw it coming".