Thursday, November 10, 2016

Lebron James asimamishwa.


Haikutegemewa lakini imetokea. Cleveland Cavs wamefungwa na Atlanta Hawks huku wakiwa na rekodi bora zaidi katika NBA msimu huu.
Dennis Schroder alifunga pointi nyingi zaidi katika maisha yake ya mchezo wa kikapu, 28 points na Atlanta Hawks ikaifunga Cleveland Cavs ambao ni mabingwa watetezi, 110-106.
“Ilikuwa mechi mbovu na ya ajabu,” alisema LeBron James, ambaye alifunga pointi 23 points baada ya kuwa na pointi 2 tu katika nusu ya kwanza.
Atlanta iliongoza kwa pointi zaidi ya 18 katika robo ya tatu kabla ya  Cleveland hawajapunguza mpaka pointi 2 tu. Hawks wakarejesha uongozi kwa pointi 15 mwanzo wa robo ya nne lakini Cavaliers wakapunguza tena mpaka pointi 2 zikiwa zimesalia sekunde 25.
Kent Bazemore, alifunga pointi 25.
Atlanta ilikuwa imepoteza michezo 11 mfululizo dhidi ya Cleveland, ikiwemo kuondolewa kwa michezo minne katika hatua ya mtoano kwa misimu miwili iliyopita.
Paul Millsap alifunga pointi 21 kwa Atlanta. Dwight Howard, aliwasaidia sana Atlanta kwa kudaka rebound 17.
Kyrie Irving aliiongoza Cleveland akiwa na pointi 29 huku mchezaji Kevin Love akiendelea na msimu mzuri akiwa na pointi 24.

Related Posts:

  • Conte will refuse to sell Willian to Manchester United Jose Mourinho is keen to bring the Brazilian to Old Trafford but is set to be denied by his former side, who have no intention of selling their Player of the Year to a rival. New Chelsea boss Antonio Conte will refuse to al… Read More
  • I'll stay at Chelsea The Belgium international says he is not thinking about his future currently but has admitted it would be difficult to leave Stamford Bridge after a poor season for the Blues. Chelsea midfielder Eden Hazard wants to stay a… Read More
  • Nigeria's Former National Soccer Coach, Dies Super Eagles coach, Christain Chuckwu as described the death of Steven Keshi as the greatest shock he has ever received in his life. Keshi was reported to have died of cardiac arrest at the early hours of Wednesday. Chuck… Read More
  • Nigeria Beat Luxembourg Super Eagles secured 3-1 victory over the Red Lions of Luxembourg at the Stade Josy Barthel. Brown Ideye, Kelechi Iheanacho and Odion Ighalo were the goal scorers for Nigeria while Till Vincent netted for the host. A youn… Read More
  • France kick off tournament amid security, strike and weather fears - Euro 2016 Euro 2016 kicks off on Friday when hosts France face Group A opponents Romania at the Stade de France amid an unprecedented security operation. France remains under a state of emergency after last November's attacks on P… Read More

0 comments:

Post a Comment